In Summary

• Katika kaunti ya Mombasa, wafuasi wa Azimio walikongamana katika eneo la Pembe za Ndovu lakini awali walivurugana na polisi waliojaribu kuwatawanya.

• Nairobi hafla hiyo ilifanyika katika maeneo mbali mbali ikiwemo Mathare, Jacaranda, Kawangware na wakfu wa Jaramogi.

GRAFIKI: Mkesha wa kuwasha mishumaa.
Image: HILLARY BETT
View Comments