In Summary
• Katika kaunti ya Mombasa, wafuasi wa Azimio walikongamana katika eneo la Pembe za Ndovu lakini awali walivurugana na polisi waliojaribu kuwatawanya.
• Nairobi hafla hiyo ilifanyika katika maeneo mbali mbali ikiwemo Mathare, Jacaranda, Kawangware na wakfu wa Jaramogi.