In Summary
• Maeneo ya Nairobi na Bonde la Ufa yamepata wakuu wapya (RC) katika mabadiliko yaliyotangazwa na Ofisi ya Rais.
• Mabadiliko hayo yalitangazwa na Katibu wa kudumu wa Wizara ya Mambo ya Ndani Karanja Kibicho ambaye alisema yatatekelezwa mara moja.
• Mkuu wa kanda ya Mashariki Isaiah Nakoru alihamishwa hadi Magharibi katika wadhifa sawa na nafasi yake kuchukuliwa na Kamishna wa Kaunti ya Narok Evans Achoki.