01 November 2023 1 Min Read
Matukio yaliyoripotiwa siku ya kwanza ya mitihani ya KCPE na KPSEA
Maafisa wa polisi zaidi ya elfu 60,000 walitumwa sehemu tofauti kuhakikisha ulinzi wa mitihani unaimarishwa
Matukio yaliyoripotiwa sehemu tofauti za mitihani
Image: WILLIAM
•Wizara ya elimu imetangaza kuwa itahakikisha watahiniwa wote ambao walikosa kukalia mitihani yao ya kitaifa watapata nafasi ya kufanya mitihani hiyo baadaye.