06 June 2019 1 Min Read
Rais Caf Ahmad akamatwa nchini Ufaransa
by Yusuf Juma Michezo
Shirikisho la soka duniani Fifa limethibitisha kwamba rais wa shirikisho la sofa barani afrika Ahmad Ahmad amezuiliwa na maamlaka za ufaransa ili kuhojiwa .
Taarifa kutoka fifa imesema kuzuiliwa kwake ni kuhusiana na madai yanayohusiana na kazi yake katika caf .
Imeingeza kwamba ‘ Fifa haina maelezo kuhusu uchunguzi huo na hivyo basi haiwezi kutoa msimamo au matamshi yoyote kuhusu jambo fulani .
"Fifa inataka maamlaka za ufaransa kutoa maelezo yanayoweza kuwa muhimu kwa uchunguzi unaofanyika ndani ya kamati yake ya maadili .