Kocha mkuu wa Bournemouth, Eddie Howe sasa ananuia kumsajili kiungo wa Tottenham na nahodha wa Kenya, Victor Wanyama. Spurs are

Kulingana na jarida la The Sun, Spurs wanapania kuleta fedha zaidi ili kumwezesha kocha Mauricio Pochettino's kusajili wachezaji zaidi.

Baada ya ujio wake Tanguy Ndombele kwa kitita cha pauni milioni 65, timu hiyo ya North London sasa inanuia kumuuza Wanyama.

Wanyama alimfuata Pochettino kutoka Southampton hadi Tottenham kwa pauni millioni 11.5m mwaka wa 2016.