In Summary
• Musila alikaribishwa Ijumaa kwenye chama cha Jubilee na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Chama hicho Kanini Kega.
• Chama hicho kilisema kuwa Musila atawania kiti cha ugavana wa Kitui katika uchaguzi wa Agosti 9.
• Musila ni mmoja wa wanachama waanzilishi wa chama cha Wiper pamoja na Kalonzo, aliyekuwa Seneta wa Machakos Johnstone Muthama na Mutula Kilonzo Junior.