logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mjadala wa urais kufanyika Julai 26

Sekretarieti hiyo pia imeandaa mijadala ya wagombeaji ugavana wa Nairobi

image
na Radio Jambo

Makala04 July 2022 - 14:08

Muhtasari


  • Katika taarifa ya Jumatatu, sekretarieti hiyo pia ilisema mjadala wa naibu rais utafanyika Jumanne, Julai 19

Mjadala wa urais 2022 utafanyika Julai 26, Mkuu wa Sekretarieti ya Mijadala ya Rais Clifford Machoka amesema.

Katika taarifa ya Jumatatu, sekretarieti hiyo pia ilisema mjadala wa naibu rais utafanyika Jumanne, Julai 19.

Sekretarieti hiyo pia imeandaa mijadala ya wagombeaji ugavana wa Nairobi ambayo itaandaliwa Jumatatu, Julai 11.

Mijadala yote itafanyika katika chuo kikuu cha Catholic University for Eastern Africa (CUEA) kilichoko Karen, Nairobi, kuanzia  saa kumi na moja jioni hadi nne usiku.

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved