logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Azimio kufanya mkutano wa uzinduzi leo

Onsarigo alisema mkutano huo utafanyika KICC kuanzia saa nne alfajiri.

image
na Radio Jambo

Habari13 August 2022 - 02:49

Muhtasari


•Muungano wa Azimio la Umoja utafanya kongamano la uzinduzi wa wanachama wake waliochaguliwa Jumamosi.

Muungano wa Azimio la Umoja utafanya kongamano la uzinduzi wa wanachama wake waliochaguliwa Jumamosi, katibu wa wanahabari wa Raila Odinga Dennis Onsarigo amesema. 

Onsarigo alisema mkutano huo utafanyika KICC kuanzia saa nne alfajiri.

Wahudhuriaji wameombwa kuvalia rangi za buluu za Azimio.

Azimio ameshinda viti 147 vya wabunge, viti saba vya Seneti na viti 10 vya ugavana kulingana na fomu zilizothibitishwa kufikia sasa.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved