logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Pasta mla kondoo! Pasta afunuliwa nguo na mshirika wake

Kulingana na mwanadada huyo kutoka Siaya pasta huyo amkuwa akila uroda

image
na Radio Jambo

Yanayojiri23 February 2022 - 14:55

Muhtasari


  • Kulingana na mwanadada huyo kutoka Siaya pasta huyo amkuwa akila uroda wake na kugawana sadaka pamoja

Kuku wakiwa wengi wanamwaya mtama kwenye kitengo cha tobo siri, siku ya JUmatano mwandada mmoja aimwaya mtama jinsi pasta wake amekuwa akifanya.

Kulingana na mwanadada huyo kutoka Siaya pasta huyo amkuwa akila uroda wake na kugawana sadaka pamoja.

Hii hapa siri yake;

"Tarehe 1 Januari mwaka huu nataka kuwatobolea washiriki wa kanisa ninaloshirii na bibi ya pasta kwamba nilienda maombi nyumbani kwa pasta wangu lakini jambo moja baada ya lingine tulifanya mapenzi

Pasta ana karibu miaka 40, nami nina maiaka 21, bibi ya pasta alikuwa amelazwa hospitali amekuwa akiniambia niende nyumbani kwake 

Nimekuwa nikimdanganya mpenzi wangu  kuwa naenda kanisani kumbe nimekuwa nikienda kwa pastor kula uroda na kugawana sadaka.

Pia anataka niwe mke wake wa pili, nataka ushauri kutoka kwa wanajambo," Alisimulia.

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved