logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nimeokoka sijawahi kubugia vileo-Abel Amunga aweka mambo wazi

Abel alifichua kwamba katika uigizaji mwingi uonekana akiwa ana bugia vileo

image
na Radio Jambo

Habari20 January 2021 - 13:01

Muigizaji Abel Amunga akiwa kwenye mahojiano na radiojambo alifichua kwamba kadha wa kadha kuhusu maisha yake ya uigizaji.

Abel alifichua kwamba katika uigizaji mwingi uonekana akiwa ana bugia vileo hasa kwenye kipindi cha selina ambacho hupeperushwa katika runinga ya maisha magic.

Pia alisema licha ya kuwa uigizaji umekuwa mzuri kwa upande wake kuna baadhi ya changamoto ambazo hupitia katika kazi yake.

 

"Nafurahia sana kazi yangu, lakini kunakipindi ambacho watu wanatarajia uwe kama mwakilishi wadi, endapo wanahitaji msaada wanakuja kwako ukikosa kuwasaidia wanaona wewe ni mkono ghamu.

IMG-20200723-WA0080(1)(1)

Kuna wale wanaona ukiigiza katika televisheni nikiwa na pombe, lakini ukweli ni kuwa sjawahi kunywa pombe wananiukumu na uigiaji wangu." Alisema Amunga.

Huku akizungumzia maisha yake ya ndoa alikuwa na haya ya kusema,

"Tangu mama yake Ruth aage unia sijawahi oa, aliacha Ruth akiwa na miaka 7 sitaki huapa kwamba sitoa tena lakini Mungu akileta mwanamke mzuri nitaoa."


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved