logo

NOW ON AIR

Listen in Live

RIP: Wapenzi wa muziki wa Mugithi wamuomboleza Mighty Salim

Katika mahojiano hapo awali  alisema imekuwa vigumu kwake kukubali kwamba kakake Salim Junior  aliaga dunia

image
na Radio Jambo

Habari25 January 2021 - 04:41

Muhtasari


  • Katika mahojiano hapo awali  alisema imekuwa vigumu kwake kukubali kwamba kakake Salim Junior  aliaga dunia

Wapenzi wa muziki wa mugithi wameenelea kutuma risala zao za rambi rambi kufuatia kifo cha  mwanamuziki Mighty Salim ambaye jina lake halisi  Timothy Njuguna  aliyeaga dunia siku ya jumapili januari tarehe 24 kwa ajili ya tatizo la figo .

 Aliaga dunia baada ya maadhimisho ya miaka sita tangu kuaga dunia kwa  kakake mkubwa Salim Junior  ambaye alifarii januari tarehe 23 mwaka wa 2016. Katika mahojiano hapo awali  alisema imekuwa vigumu kwake kukubali kwamba kakake Salim Junior  aliaga dunia

 Hizi hapa  baadhi ya jumbe za risala za rambi rambi kutoka kwa wafuasi wake


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved