- Katika mahojiano hapo awali alisema imekuwa vigumu kwake kukubali kwamba kakake Salim Junior aliaga dunia
Wapenzi wa muziki wa mugithi wameenelea kutuma risala zao za rambi rambi kufuatia kifo cha mwanamuziki Mighty Salim ambaye jina lake halisi Timothy Njuguna aliyeaga dunia siku ya jumapili januari tarehe 24 kwa ajili ya tatizo la figo .
Aliaga dunia baada ya maadhimisho ya miaka sita tangu kuaga dunia kwa kakake mkubwa Salim Junior ambaye alifarii januari tarehe 23 mwaka wa 2016. Katika mahojiano hapo awali alisema imekuwa vigumu kwake kukubali kwamba kakake Salim Junior aliaga dunia
Hizi hapa baadhi ya jumbe za risala za rambi rambi kutoka kwa wafuasi wake
Popular Mugithi Artist Mighty Salim is DEAD.
— Jeff Kuria (@Jeff_KuriaM) January 24, 2021
He died a day after hosting his brother’s Salim junior 5th memorial.
Rest well Njuguna. pic.twitter.com/bz3gPIa9JL
Today a legend has left us, but the Music lessons, teachings he thought and his life will stay with us forever. Rest in peace, Mighty Salim. GO WELL BUD! pic.twitter.com/VmWiflWTyx
— Simon Wachiuri, HSC. (@Its_Wachiuri) January 24, 2021
SAD UPDATE
— Daniel Gitari (@Gitari_D) January 24, 2021
Popular Mugiithi secular Artist Mighty Salim passes on a day after running a show in remembrance of his Late Brother Salim Junior. A huge blow to the Salim Family.
Fare thee Well.
Indeed, death is hidden.
A legend never to be forgotten, his unique lyrical masterly and voice is and will always be an inspiration to many. His absence will be felt by generations to come. Rest in Peace Mighty salim junior pic.twitter.com/7gvksMJ6Iy
— Ngengi Magana (@ngengimagana) January 24, 2021