- Eric Omondi apokea kichapo cha mbwa kutoka kwa Khaligraph Jones
Baada ya mchekeshaji Eric OMondi kutangaza vita vyake dhidi ya rappa Khaligraph Jones amekuwa akipakia video jins atampa kichapo cha mbwa, huku akinunu jenea akisema kwamba atammaliza.
Lakini majigambo hayo yote na sifa zake zote hii leo Februari 23 zimezikwa baada ya kupokea kichapo yeye mwenye kutoka kwa Jones kinyume cha matarajio yake.
Kupitia kwenye ukurasa wake Eric alipakia video vya vita hivyo, huku baadhi ya mashabiki wakimkejeli.
"Tunaishi kupigana siku nyingine๐ช ...Mpinzani wangu alitumia njia za siri, alicheza dhidi ya Kanuni za jadi za Ndondi, kupiga chini ya ukanda ni mwendo usiofaa na usiopendeza. Timu yangu ya ufundi tayari imebishania mechi hii na tunachukua hatua zote za kisheria dhidi ya mwamuzi na mpinzani wangu. Kuna mapenzi na lazima kuna mechi nyingine," Aliandika Omondi.
Hii hapa video ya vita hivyo;
Hizi hapa baadhi ya hisia za wanamitandao baada ya kuona video hiyo;
mtunecessary: ๐๐๐ Erico ni kama wale watoto wachokozi wanachapwa ju ya kiherehere alafu wanastaki kwa head teacher
jibrilblessing: Bro naona ulipeana blow jobs ๐๐๐
kangethefitness: Kufa dereva kufa malanga
brainless_.ke: We kitu unaeza piga ni raondi๐๐๐๐
_am_kingsley: Ulipigwa kaa shiett๐kumbe huwa ni mdomo tuu ๐๐
cyrill_the_comedian: poleee mos baba
rockotieno: We kitu unaeza piga ni mdomo๐ Respect the OG
wambui_the_first:๐๐๐๐๐๐๐venye uliwa umejichocha๐๐๐