logo

NOW ON AIR

Listen in Live

(+Video)Winnie Odinga asheherekea siku yake ya kuzaliwa kwa njia ya kipekee

Kupitia kwenye ukurasa wake wa twitter Winnie alipakia video huku akisakata muziki, akiwa kaunti ya Siaya.

image
na Radio Jambo

Habari07 March 2021 - 07:05

Muhtasari


  • Winnie Odinga asheherekea siku yake ya kuzaliwa kwa njia ya kipekee
Winnie Odinga

Mwanawe kinara wa chama cha ODM Raila Odinga, Winnie Odinga huku akisheherekea siku yake ya kuzaliwa alisheherekea kwa njia ya kipekee.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa twitter Winnie alipakia video huku akisakata muziki, akiwa kaunti ya Siaya.

Winnie alifikisha miaka 31, akiwa kwenye mahojiano na radiojambo Winnie alisema kwamba mwaka wa 2007 baada ya baba yake kupoteza uchaguzi mkuu alilia.

Winnie anafahamika sana nchini kwa kumuunga baba yake mkono, huku akisema kufanya kazi na baba yake ni jambo nzuri sana

"Asanteni nyote kwa kunitakia siku njema nikisheherekea siku yangu ya kuzaliwa, nafurahia siku yanu ya kuzaliwa nikiwa kaunti ya Siaya na marafiki zangu

Mungu awabariki nyote," Aliandika Winnie.

Hii hapa video akisakata densi amayo ilikuwa kwa lugha ya luo;


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved