logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Kila kitu kwako ni maalum, watoto nao umenipa,'DJ Mo amsherehekea mkewe

Mo alimshukuru kwa yale yote ambayo amemfanyia na kuwa katika maisha yake.


Burudani08 March 2021 - 10:29

Muhtasari


  • DJ Mo amsheherekea mkewe siku ya wanawake duniani kwa ujumbe wa kipekee

Tarehe 8 Machi ikiwa ni siku ya wanawake duniani, kila mtu usheherekea mkewe, mpenzi wake na hata mzazi wake wa kike kwa njia tofauti.

Kuna wale hupelekwa kujivinjari na hata kuandikiwe jumbe za kipekee kwa njia ya kuwashukuru wake zao na wapenzi wao.

Mcheza santuri DJ Mo kupitia kwenye ukurasa wake alimsheherekea mkewe msanii wa nyyimbo za injili Size 8 kwa ujumbe wake kipekee.

 

Mo alimshukuru kwa yale yote ambayo amemfanyia na kuwa katika maisha yake.

"kila kitu juu yako ni maalum, umekuwa nguzo ,watoto nao umenipa kweli kweli nakupenda," Aliandika Mo.

Hizi hapa baadhi ya jumbe za mashabiki

perizsavana: Si mrudishe the murayas pale YouTube๐Ÿ˜ข

maurinem_mutave: โค๏ธmy power couple always๐Ÿ˜

okambodavid: Ungemwekea slices za onion hivo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

elina.karisa.334: ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜happy women's day to your beautiful queen๐Ÿ˜š๐Ÿ˜š๐Ÿ˜š

 

a1collectionske: Happy Women's Day @size8reborn ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Kutoka kwetu wanajambo tunawatakia wanawake wote siku njema ya wanawake wakisheherekea siku hii maalum.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoยฉ Radio Jambo 2024. All rights reserved