logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Video ya siku: Tazama jinsi mtangazaji Ghost Mulee alisheherekea siku ya kuzaliwa ya mwanawe

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram alipakia, video akiwa na mwanawe huku akimlisha keki.

image
na Radio Jambo

Burudani04 April 2021 - 14:31

Muhtasari


  • Tazama jinsi mtangazaji Ghost Mulee alisheherekea siku ya kuzaliwa ya mwanawe

Mtangazaji wa radiojambo na kocha wa timu ya mpira ya Harambee Stars Jacob Mulee amesheherekea siku ya kuzaliwa na mwanawe kwa njia ya kipekee.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram alipakia, video akiwa na mwanawe huku akimlisha keki.

Baada ya kupakia video hiyo aliandika ujumbe huu;

"Wacha Mungu akakkupe na kutimiza matamanio yako, ukapulize mishumaa mingi katika maisha yako na uwe na afya tele 

Heri njema siku yako ya kuzaliwa Jesse," Aliandika Ghost.

Pia alipakia video nyingine na kumtakia mwanawe maisha merefu, huku mashabiki wake wakituma jumbe hizi.

wanzajona: Hsppy Birthday Jesse, to many more cheers πŸ₯‚πŸŽŠπŸΎ

joseph_n_michael: Happy birthday to himπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

wanzajona: Family over everything.... Count your blessings name them one by oneπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

tynakagasi: Ghost mulee 😜😜😜😜πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯happy birthday Jesse

isaac_bella_muchesia: Happy birthday J

Hii hapa video hiyo;


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoΒ© Radio Jambo 2024. All rights reserved