- Tazama jinsi mtangazaji Ghost Mulee alisheherekea siku ya kuzaliwa ya mwanawe
Mtangazaji wa radiojambo na kocha wa timu ya mpira ya Harambee Stars Jacob Mulee amesheherekea siku ya kuzaliwa na mwanawe kwa njia ya kipekee.
Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram alipakia, video akiwa na mwanawe huku akimlisha keki.
Baada ya kupakia video hiyo aliandika ujumbe huu;
"Wacha Mungu akakkupe na kutimiza matamanio yako, ukapulize mishumaa mingi katika maisha yako na uwe na afya tele
Heri njema siku yako ya kuzaliwa Jesse," Aliandika Ghost.
Pia alipakia video nyingine na kumtakia mwanawe maisha merefu, huku mashabiki wake wakituma jumbe hizi.
wanzajona: Hsppy Birthday Jesse, to many more cheers π₯ππΎ
joseph_n_michael: Happy birthday to himπ₯π₯π₯
wanzajona: Family over everything.... Count your blessings name them one by oneππππ
tynakagasi: Ghost mulee πππππ₯π₯π₯π₯happy birthday Jesse
isaac_bella_muchesia: Happy birthday J
Hii hapa video hiyo;