Usimuoe au kumchumbia mwanamke ambaye hapendi pesa-Muigizaji Sandra Dacha

Muhtasari
  • Muigizaji Sandra Dacha almaarufu Silprosa amewashauri wanaume wasikubali kuwapenda au kuoa wanawake au mwanamke ambaye hapendi pesa
Screenshot-from-2020-06-09-08_34_25
Screenshot-from-2020-06-09-08_34_25

Muigizaji Sandra Dacha almaarufu Silprosa amewashauri wanaume wasikubali kuwapenda au kuoa wanawake au mwanamke ambaye hapendi pesa.

Ni ushauri ambao ulipokelewa kwa njia tofauti na baadhi ya mashabiki wake,huku baadhi ya wengine wakimuunga mkono.

Ni ushauri ambao umekuja wakati wanaume wengi wanawaogopa wanawake kwa madai kwamba wanatafuta pesa kwao badal ya upendo wa kweli.

 

"Sijui nani anahitaji kusikia haya lakini usimchumbie au kumuoa mwanamke ambaye hapendi pesa," Aliandika Sandra.

Hizi hapa baadhi ya hisia za mashabiki wake;

maajdesigns: πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ We hear you.

jasmine_qollection: πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Acha kikosi cha stingy men kifike

niphaisalambo: wambie

stevenzackaria: Wanakuchungulia kwa nyuma

verowpeter: Pesa sabuni ya Roho alarrπŸ˜‚πŸ˜‚

 

cha_ri_.ty: This should be put on a billboard πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΌ

lylyane_fletcher: Money firstπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚tukule ubrokeπŸ™Œ

nyowilafl: oooh yes number one qualification to be a wife material Mama, you are hot😍πŸ”₯

atienoyver: N plis note: money is not everything BT its the only thing