logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Nimejaribu kupata ujauzito tangu januari lakini sijafanikiwa-Akothee Afichua

Wiki hii alivuma sana baada ya kumashauri mwanawe ampende mwanamume ambaye ana pea na wala sio upendo.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri14 April 2021 - 14:06

Muhtasari


  • Msanii Akothee anafahamika sana kwa ushauri wake, na mambo ambayo hupakia kwenye ukurasa wake wa instagram
  • PIa alisema kwamba kama hatapata mtoto kwa mwaka nne zijazo ataacha kutafuta mtoto
akoth stylish 1 (1)

Msanii Akothee anafahamika sana kwa ushauri wake, na mambo ambayo hupakia kwenye ukurasa wake wa instagram.

Wiki hii alivuma sana baada ya kumashauri mwanawe ampende mwanamume ambaye ana pea na wala sio upendo.

Katika ushauri wake alimwambia kwamba akimpenda mwanamume ambaye ana pesa upendo utakuja baadaye.

Siku ya Jumatano, alipakia picha kwenye ukurasa wake wa instagram,ikiandamana na ujumbe aliofichua kwamba amejaribu kupata ujauzito tangu januari lakini hajafanikiwa.

PIa alisema kwamba kama hatapata mtoto kwa mwaka nne zijazo ataacha kutafuta mtoto.

"Imekuwa miaka 6,kama sitapata mtoto kwa miaka minne zijazo nitaacha,tangu januari nimejaribu kupata ujauzito lakini sijafanikiwa," Aliandika Akothee.

Hizi hapa baadhi ya hisia za mashabiki baada ya Akothee Kufichua hayo;

tabithamwaqar: πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ati its not coming

_.para.chuti._: Alaaaaaaaaaaaaaaa ❀️❀️

wanzaaa001: Nlikua na kadress ka haka. They were fireπŸ˜πŸ˜‚

maureen_cikuh: Why is it not coming?πŸ˜‚πŸ˜‚

seshmamakay: From your mouth to God's ears. He answers prayers.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoΒ© Radio Jambo 2024. All rights reserved