logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Nilisaini kile kilihitajika kusainiwa,'Anerlisa Muigai aweka mambo haya bayana

Pia alisema kwamba anaweka mambo wazi hataki kamwe kuhusishwa na mtu yeyote.

image
na Radio Jambo

Burudani28 April 2021 - 14:03

Muhtasari


  • Anerlisa aweka wazi wametalikiana na Ben Pol
  • Pia alisema kwamba anaweka mambo wazi hataki kamwe kuhusishwa na mtu yeyote

Anerlisa Muigi kupitia kwenye mitandao ya kijamii ya instagram alifichua kwamba aliti saini makaratasi ya talaka kati yake na Ben Pol.

Kupitia kwenye mitndo hiyo Muigai alisema kwamba kile kilihitajika kufanyika kimefanyika na ametia saini.

Pia alisema kwamba anaweka mambo wazi hataki kamwe kuhusishwa na mtu yeyote.

Alisema kwamba jambo la muhimu maishani mwake sasa ni kazi yake, na amani katika maisha yake.

"Nataka kuweka mambo wazi kuwa nilisaini chochote  kilichohitajika kusainiwa, na sitamani kuhusishwa na mtu yeyote

mtazamo wangu hivi sasa, ni kazi yangu na amani yangu," Aliandika Anerlisa.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved