'Najua nisipoiona kesho utamlea Tugi kuwa muugwana,'Muigizaji Njugush amsifia nduguye

Muhtasari
  • Njugush amlimbikizia ndugu yake sifa siku yake ya kuzaliwa
  • Njugush amebarikiwa na mke na mtoto mmoja, mtoto ambaye amefuata nyayo zake za uigizaji
Njugush na nduguye Ngugi
Njugush na nduguye Ngugi
Image: Picha: Kwa hisani

Muigizaji Blessed Njugush ni mmoja wa wachekeshaji ambao wanapendwa sana na mashabiki wake kwa ajili ya ubunifu wa kipekee katika uigizaji wake.

Njugush amebarikiwa na mke na mtoto mmoja, mtoto ambaye amefuata nyayo zake za uigizaji.

Huku akisheherekea siku ya kuzaliwa na ndugu yake NJugush alisema kwamba anafuraha kwa maana anajua asipoiona keshi ndugu yake atamlea mwanawe kuwa mwanamume kamili.

 
 

"Heri ya kuzaliwa Mtoto wa baba yangu @ngugi_ndegwa_lepoete. Nisingeuliza Múru mwingine wa Maitú

Angalia kile umekuwa. Nimefurahi sana kwamba ikiwa sitaiona siku ya kesho Tugi atakuzwa kuwa muungwana na mwanamume kamili na wewe!!! Ndegwa alilea wanaume sahihi!" liandika Njugush.

Hizi hapa jumbe za mashabiki;

ngugi_ndegwa_lepoete: Shukran mûrû wa maitû. I'm proud of you and I pray that we live long to accomplish more. Father raised men and mum's prayers aren't invain. The future holds greater @blessednjugush

joewmuchiri: A visual representation of Jayden and Kenyan taxes 😂😂😂

lucianderitu: Please kuna power on our words .... I speak long life to you, you will see Tugi's children .... Happy 🎉

07.81991277: Tema hiyo mate ya not seeing other days Tema now