logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Nyota wangu ulizaliwa kuangaza,'Tanasha Donna amwandikia mwanawe ujumbe wa kipekee

Pia alisema kwamba mwanawe ni nyota wake na anampenda sana.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri29 April 2021 - 14:14

Muhtasari


  • Tanasha Donna amwandikia mwanawe ujumbe wa kipekee

Ni furaha ya kila mzazi kumuona mwanawe akiwa anaendelea vyema katika maisha yake kutoka hatua moja hadi nyingine.

Msanii Tanasha ni mama mwenye furaha moyoni mwake kwa ajili mwanawe anakuwa kutoka kwa hatua moja hadi nyingine.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram alipakia picha ya mwanawe na kumwamndikia ujumbe wa kipekee huku akimwambia alizaliwa kuangaza.

 

Pia alisema kwamba mwanawe ni nyota wake na anampenda sana.

"Mama anapenda wewe  @ naseeb.junior. Mwenyezi Mungu akubariki pamoja na njia yako &na uweze kukua kuwa mwenye busara mwana ... na uweze kufanya kila wakati na kufuata njia yako mwenyewe Nyota yangu. Mzaliwa wa kuangaza ... ⭐👶🏽❤️," Aliandika Tanasha.

Baba yake Naseeb Junior ni mwanawe staa wa bongo kutoka Tanzania Diamond Platnumz.

Tanasha na Diamond waliachana mapema mwaka jana.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved