logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mimi na mapacha tunakupeza sana-Jacqueline Mengi amkumbuka mumewe

Kupitia kwenye ujumbe wake alimshukuru Mungu kwa wakati ambao walikuwa naye,

image
na Radio Jambo

Yanayojiri03 May 2021 - 10:02

Muhtasari


  • Jacqueline Mengi kupitia kwenye ukurasa wake wa twitter aliandika ujumbe huku akimkumbuka mumewe Reginald Mengi, miaka miwili baada ya kifo chake

Jacqueline Mengi kupitia kwenye ukurasa wake wa twitter aliandika ujumbe huku akimkumbuka mumewe Reginald Mengi, miaka miwili baada ya kifo chake.

Kupitia kwenye ujumbe wake alimshukuru Mungu kwa wakati ambao walikuwa naye, huku akisema yeye na wanawe wanampeza sana.

"Mpenzi wangu, tunamshukuru Mungu kwa wakati tuliokuwa na wewe, kwa upendo wa ajabu uliyotupatia, kwa hekima yako, kwa masomo tuliyojifunza katika uangalizi wako na wale ambao tunaendelea kujifunza kwa kutokuwepo kwako. Mimi na mapacha tunakupeza sana. Endelea kupumzika kwa amani," Jacqueline Aliandika.

 

Mengi aliaga dunia akiwa mjini Dubai, huku mozo wa mali yake ukiendelea hata baada ya kifo chake.

Hizi hapa jumbe za wanamitandao;

Tush: He was such an inspirational personality and I learned a lot from him.

D.G: He was a good man. May he continue resting in peace

Traveladventureman.: We miss him too, our inspiration, our fellow chaggan. May God continue to Rest His Soul In Peace.

Gervas Maiko:  RIP mzee wetu. Tunakukumbuka sana, ulikuwa mtu wa mfano kwa watanzania wa upendo wako kwa watu hasa wasiojiweza.

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved