logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Picha ya siku:Tazama picha ya awali ya mtangazaji Massawe inayowakosesha wengi usingizi

Pia amekuwa akiwahimiza mashabiki wake kupitia kwenye mitandao ya kijamii.

image
na Radio Jambo

Habari03 May 2021 - 10:08

Muhtasari


  • Mtangazaji wa Radiojambo Massawe Japanni ni miongoni mwa watangazaji wanaopendwa sana na mashabiki kenya
  • Pia amekuwa akiwahimiza mashabiki wake kupitia kwenye mitandao ya kijamii

Mtangazaji wa Radiojambo Massawe Japanni ni miongoni mwa watangazaji wanaopendwa sana na mashabiki kenya.

Massawe ni mama wa watoto watatu, huku kipindi chake kikiwa ni cha kutoka saa nne hadi saa nane mchana kila siku ya wiki.

Mtangazaji huyo amekuwa akitetea haki za wanawake, hasa wale wanataka msaada wa mtoto kutoka kwa baba zao.

Pia amekuwa akiwahimiza mashabiki wake kupitia kwenye mitandao ya kijamii.

KUpitia kwenye ukurasa wake wa instagram amepakia picha akiwa mrembo, huku mashabiki wakipendezwa na picha zake.

Hizi hapa baadhi ya picha hizo;

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved