logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Wazazi mnaeleza aje watoto kuhusu kifo? DJ Piera Makena auliza wazazi

Pierra amekuwa mfano mwema wa wanawake abao wanatia bidii katika kazi zao bila drama yeyote.

image
na Radio Jambo

Habari07 May 2021 - 08:41

Muhtasari


  • DJ Pierra awauliza wazazi jinsi ya kuwaeleza watoto wao kuhusu kifo
Screenshot-from-2020-06-25-09_22_12

Mcheza santuri Piera Makena ni mwanamke mwenye bidii ya kipekee, licha ya changamoto hupatana nazo katika kazi yake ka mwanamke.

Pierra amekuwa mfano mwema wa wanawake abao wanatia bidii katika kazi zao bila drama yeyote.

Huku kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram aliwauliza wazazi jinsi ya kuwaambia watoto wao kuhusu kifo, hii ni baada ya rafikiye mtoto wake kuaga dunia.

 

Pia alifichua kwamba umekuwa wakati wake mumu katika kulea kumueleza mwanawe.

Mheza santuri huyo alisema kwamba pia anahumia sana kumuona mwanawe ameumia moyo kwa ajili ya kifo hicho.

"Mnafanya aje wazazi, mnawaeleza watoto wenu aje kuhusu kifi, huu umekuwa wakati wangu mgumu katika maisha yangu ya kulea

Kueleza kifo kwa mtoto wangu,mtu mzuri ambaye alikuwa anamuona kila siku alimsaidia kuendesha baiskeli yake na alimchukulia kama mtoto wake

Inauma kumuona mtoto wangu amevunjika moyo,inauma kwamba tumempoteza jirani mwema, nalia kwa ajili ya wavulana wake wawili na familia yake

Sijui jinsi ya kupambana wala kueleza kifo, lala salama Allan," Aliandika Makena.

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved