logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Nimebarikiwa kuwa nawe,'Ujumbe wake Lulu Hassan kwa mwanawe akisheherekea siku yake ya kuzaliwa

Lulu amebarikiwa na watoto 3 huku mtoto wake wa pili akisheherekea siku ya kuzaliwa leo.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri13 May 2021 - 10:03

Muhtasari


  • Ujumbe wake Lulu Hassan kwa mwanawe akisheherekea siku yake ya kuzaliwa
familia ya lulu hassan na rashid abdalla

Mwanahabari Lulu Hassan ni miongoni mwa wanahabari ambao wanafahamika sana nchini kote na Afrika mashariki.

Lulu amebarikiwa na watoto 3 huku mtoto wake wa pili akisheherekea siku ya kuzaliwa leo.

Huku akisheherekea siku yake ya kuzaliwa mwanahabari huyo alimwandikia mwanawe ujumbe wa kipekee, huku akisema ni baraka kuwa naye katika maisha tele.

Nimebarikiwa sana kuwa na mtwanamume huyu maishani mwangu ❤❤❤ Bwana.Iffy ❤❤❤ anafikisha miaka 7 leo ... Heri ya kuzaliwa mtoto wangu, rafiki yangu wa karibu, msiri, Yeye ndiye vitu vyote unavyoomba kwa mtoto wa kiume. ..Nimebarikiwa kweli Alhamdullilah 🤲🙏🙏❤," Aliandika Lulu Hassan.

Hizi hapa baadhi ya jumbe za mashabiki wakimtakia heri njema ya kuzaliwa mwanawe Lulu Hassan.

massawejapanni: Karembo😍 Happy birthday to our son

jackyvike: Picha kwa ya pili! Happy Birthday Champ

_naomnyaboke: Happy birthday 🎉🎉🎉

neemasulubu: Happy birthday to Iffy❤️❤️🙏🏽

bridgetshighadi: Happy birthday my crushie 😘😘❤️

glora_maria: happy milad Sayeed bro❤️

wangechi.muriuki: Happy birthday this handsome champ❤️

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved