Nilimpata mpenzi wangu na mwanamke aliyekomaa kitandani mchana peupe-Mwanamke asimulia

Muhtasari
  • Nilimpata mpenzi wangu na mwanamke aliyekomaa kitandani mchana peupe
black-woman-crying-
black-woman-crying-

 Karne hii ya sasa jinsia zote mbili za kizazi hiki cha sasa hawataki majukumu, katika maisha yao kwani kila mmoja anapenda maisha yake au tuseme wanapenda pesa sana.

Nikifanya ziara zangu nilipatana na mwanamke mmoja ambaye alikuwa amevunjika moyoni, huku akiwa na huzuni mwingi.

Lakini sababu ya mwanake huyo kusema amekata tamaa kwa wanaume ni ipi?

 

Huu hapa usimulizi wake;

"Nilikuwa na mchumba wa miaka 3, wazazi wake walinifahamu na wangu walimfahamu sana kwa maana tulikuwa tumeagana kwamba tutafunga ndoa mwaka wa 2022

Mapema mwaka huu alibadili tabia na hata alikuwa ananiambia nisijaribu kumpigia simu usiku bali hakuniambia sababu 

Nilimpa muda lakini nilisikia funu u kwamba amechukuliwa au tusema ameolewa na mwanamke ambaye amekomaa

Niliamua kuenda kwake bila ya kumwambia na niliwapata akiwa na mwanamke huyo kitandani na nyumbani kwake wakifanya mapenzi mchana peupe

Naskia tu nimechoka na mapenzi ya sasa wacha nikae jinsi nilivyo," Alieleza mwanamke huyo.

Wakati huu vijana wenye umri mdogo wamechukuliwa na akina mama na wasichana nao wamechukuliwa na wazee, huku wengi wakipoteza mwelekeo wa maisha.