logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mheshimu mwanamume anayeweza kuponya moyo ambao hakuvunja-Betty Bayo

KUlingana na mashabiki na wanamitandao msanii huyo amepata mpenzi.

image
na Radio Jambo

Habari26 May 2021 - 12:54

Muhtasari


  • Betty Bayo amtambulisha mpenzi wake

Msanii wa nyimbo za injili Betty Bayo amemtambulisha mpenzi wake kwa mashabiki  mika chache baada ya kuachana na mumewe Pasta Kanyari.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram alipakia picha ya mwanamume huku akiwashauri mashabiki wanapaswa kuheshimu mwanamume ambaye anaweza kuponya moyo ambao hakuuvunja.

Huku akimalizia ujumbe wake alisema kwamba ni yesu tu anaweza fanya hayo, pamoja na kutunza watoto ambao sio wake.

"Mheshimu mwanamume anayeweza kuponya moyo ambao hakuvunja na kumlea mtoto ambaye sio wakea.๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜ni Yesu tu anayeweza kufanya hivyo," Aliandika Betty.

Mwaka jana Betty alipakia picha ya mwanamumme akiwa anavisha pete ya uchumba ambapo Kanyari hakupendezwa na kitendo hicho.

KUlingana na mashabiki na wanamitandao msanii huyo amepata mpenzi.

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoยฉ Radio Jambo 2024. All rights reserved