logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Ghost Mulee arejea kazini awashukuru mashabiki kwa kumuombea

Mashabiki wake walimpeza, huku wengi wakisema kwamba walipeza kicheko chake.

image
na Radio Jambo

Burudani27 May 2021 - 10:10

Muhtasari


  • Ghost Mulee arejea kazini awashukuru mashabiki kwa kumuombea

Mtangazaji wa radiojambo Jacob Ghost Mulee, ilikuwa siku ya kwanza Alhamisi kuingiza studioni baada ya kuwa India na kukwama nchini humo kwa miezi miwili.

Mashabiki wake walimpeza, huku wengi wakisema kwamba walipeza kicheko chake.

Haya basi msitie shaka wala kuwa na wasiwasi kwani mtangazaji huyo amerejea kazini, baada ya kupokea matibabu.

Kupitia kwenye video, iliyopakiwa kwenye ukurasa wa facebook wa radiojambo, mtangazaji huyo aliwashukuru mashabiki kwa maombi yao, na kuwaarifu ya kwamba amerejea.

"Shukrani nyingi kwa wale waliniombea nilipokuwa Delhi, unajua india ilikuwa katika lockdown, nilikuwa naskikiza kipindi cha Gidi na Ghost nilipokuwa India

Pia nilikuwa nasikiza kipindi cha bustani la Massawe, usingalie ndevu zangu huko Delhi vinyozi vilikuwa vimegungwa." Alisema Ghost.

Huku akimtania kinyozi wake alisema kwamba.

"Kinyozi wangu ameniambia atanilipisha miezi miwili, unanyoa ndevu au miezi," Ghost alimtania.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved