- Orodha ya wanasiasa waliohudhuria harusi ya mwanawe DP Ruto
Alhamisi ilikuwa siku kuu kwa naibu rais William Ruto, kwani mwanawe alikuwa anafunga harusi na mpenzi wake.
Jamaa,familia,marafiki,wanasaisa, watu mashuhuri na walioalikwa walihudhuria hafla hiyo ya kutamausha.
Sherehe hiyo ilihudhuriwa na wandani wa DP haswa kwenye kambi ya Tangatanga huku wenzao wa Kieleweke wakichungulia tu kwa umbali.
Rais Uhuru Kenyatta, Mama Margret Kenyetta au jamaa wa familia yao hawakuonekana kwenye sherehe hiyo.
Hii hapa orodha ya wanasiasa ambao walihudhuria hafla hiyo;
1.Musalia Mudavadi
KInara wa chama cha ANC alielea tofauti zake za kisiasa na kuhudhuria sheherehe hiyo, ambayo ilikuwa ni ya kifani.
I am honoured to be among the distinguished guests who attended the celebration of Deputy President @WilliamsRuto's daughter June Ruto and her fiancé Alexander Ezenagu as they exchanged vows today. Indeed, family ties are key in building societal values. pic.twitter.com/kIvzTGeTCN
— Musalia W Mudavadi (@MusaliaMudavadi) May 27, 2021
Musalia Mudvadi alionekana mchangamfu na mwenye furaha.
2.Isaac Mwaura
Congratulations to June Ruto on your wedding day. May GOD bless your union. HE Deputy President William Ruto and Mama Rachael thanks for such a lovely wedding at your home in Karen. It’s a great pleasure. pic.twitter.com/jlehOaMC28
— Isaac Mwaura CBS MP (@MwauraIsaac1) May 27, 2021
Baada ya mwanasiasa huyo kutimuliwa JUbilee kwa madai ya ukaidi ilikuwa mara yake ya kwanza kujitokeza kwa umma.
Ni furaha ya kila mzazi kumuona mwanawe akiwa na furaha na kuvuka upande mwingine wa maisha.
Kwake June ilikuwa ndoto ya maisha ambayo ilitimia Mei 27.