logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Orodha ya wanasiasa waliohudhuria harusi ya mwanawe DP Ruto

Jamaa,familia,marafiki,wanasaisa, watu mashuhuri na walioalikwa walihudhuria hafla hiyo ya kutamausha.

image
na Radio Jambo

Burudani27 May 2021 - 14:58

Muhtasari


  • Orodha ya wanasiasa waliohudhuria harusi ya mwanawe DP Ruto

Alhamisi ilikuwa siku kuu kwa naibu rais William Ruto, kwani mwanawe alikuwa anafunga harusi na mpenzi wake.

Jamaa,familia,marafiki,wanasaisa, watu mashuhuri na walioalikwa walihudhuria hafla hiyo ya kutamausha.

Sherehe hiyo ilihudhuriwa na wandani wa DP haswa kwenye kambi ya Tangatanga huku wenzao wa Kieleweke wakichungulia tu kwa umbali.

Rais Uhuru Kenyatta, Mama Margret Kenyetta au jamaa wa familia yao hawakuonekana kwenye sherehe hiyo.

Hii hapa orodha ya wanasiasa ambao walihudhuria hafla hiyo;

1.Musalia Mudavadi

KInara wa chama cha ANC alielea tofauti zake za kisiasa na kuhudhuria sheherehe hiyo, ambayo ilikuwa ni ya kifani.

Musalia Mudvadi alionekana mchangamfu na mwenye furaha.

2.Isaac Mwaura 

Baada ya mwanasiasa huyo kutimuliwa JUbilee kwa madai ya ukaidi  ilikuwa mara yake ya kwanza kujitokeza kwa umma.

Ni furaha ya kila mzazi kumuona mwanawe akiwa na furaha na kuvuka upande mwingine wa maisha.

Kwake June ilikuwa ndoto ya maisha ambayo ilitimia Mei 27.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved