- Mchekeshaji Hamo amwandikia Jemutai ujumbe wa kipekee anaposheherekea siku yake ya kuzaliwa
Mcheshi Profesa Hamo, amemlimbikizia sifa mchekeshaji mwenzake Jemutai anapofikisha miaka 30.
Hamo ambaye wiki chache zilizopita alikuwa na kashfa na Jemutai juu ya utunzaji wa watoto, amemuelezea Jemutai kama mtu wa kuchekesha zaidi kuwahi kupata bahati ya kushiriki maisha naye.
"Nisaidie kumtakia mama huyu wa kushangaza mtu wa kufurahisha zaidi kuwahi kuwa na bahati ya kushiriki maisha na mwanamke wa kipekee
Heri siku yako ya kuzaliwa Karibu kwenye ghorofa ya tatu ntakuonyesha watu huka wapi πππ #TheHangOut," Aliandika Hamo.
Ujumbe wake unajiri siku chache baada ya mchekeshaji huyo kufichua kwamba wao ni kitu kimoja, na hivi karibuni atamuoa Jemutai kuwa mke wake wa pili.
Hizi hapa baadhi ya hisia na jumbe za mashabiki;
stephie.bovary: Goat wives mnasikia aje sasa na vile mliongea trash mkimuita home wrecker/sidechick?πππππ..... happy birthday mrs. Hamoπ
maggiemegan7: Hamo you have literally redeemed yourself π―...Good jobβ€οΈ
6220_florence: She's too pretty to let her go...love her unconditionally happiest birthday jemuπππ
bacile_ben: Happy birthday bibi ya hamo
king_frank_minneh: Happy birthday π to her..... Sawa but utampelekea zawadi ipi?
carolbianca254: Weh happy birthday Mama watotoπ