logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mimi siwaogopi Watanzania na matusi yao-Akothee aweka mambo wazi

Hii ni baada ya Forbes kutoa orodha wasanii tajiri Afrika.

image
na Radio Jambo

Habari29 May 2021 - 06:48

Muhtasari


  • Siku chache baada ya mwanabiashara na msanii tokea kenya Akothee aliwakashifu na kuwasuta Watanzania baada ya kudai kwamba haikuwa vyema kwao, Akothee kushinda Diamond kwa utajiri
  • Hii ni baada ya Forbes kutoa orodha wasanii tajiri Afrika
  • Wiki iliyopita staa wa bongo, Diamond Platnumz alisuta kampuni ya Forbes baada ya kumweka kwenye orodha ya wanamuziki tajiri zaidi Afrika
Akothee

Siku chache baada ya mwanabiashara na msanii tokea kenya Akothee aliwakashifu na kuwasuta Watanzania baada ya kudai kwamba haikuwa vyema kwao, Akothee kushinda Diamond kwa utajiri.

Hii ni baada ya Forbes kutoa orodha wasanii tajiri Afrika.

Wiki iliyopita staa wa bongo, Diamond Platnumz alisuta kampuni ya Forbes baada ya kumweka kwenye orodha ya wanamuziki tajiri zaidi Afrika.

Mwanamuziki huyo tokea Tanzania aliwasihi Forbes kufanya utafiti dhabiti kabla ya kuweka jina lake kwenye orodha ya wanamuziki tajiri zaidi Afrika.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram Akothe ameeka wazi kwamba hawaogopi watanzania kwa matusi yao, kwani amewashinda kwa vingi.

"Mimi siwaogopi watanzania na matusi yao,naweza kuwashinda kwa sentensi tatu tu, kuna tofauti kubwa, kuwa maji,tajiri, na kuwa na mali 

Waambie kwa kiswahili Pesa Zenu hazinihusuKaulizeni forbes watengengeze listi mpya , muwekwe number 1Forbes Sio wuon Oyoo 💃💃💃💃🤣🤣🤣🤣🤣Kwani wale waume wote toka number 1 Hadi 8 hamkuwaonaMbona mwanamke kafanya mupaniki?Ala? Chukueni Number Zote," Aliandika Akothee.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved