logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Ringtone amfokea msanii Bahati baada ya kupakia video akivuta sigara

Kulingana na Ringtone, alimuelezea Bahati kuwa mraibu wa dawa za kulevya.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri07 June 2021 - 19:59

Muhtasari


  • Ringtone amfokea msanii Bahati baada ya kupakia video akivuta sigara
Ringtone Apoko

Msanii wa nyimbo za injili Ringtone Apoko mitandao ya kijamii Alimshambulia Bahati baada ya kushiriki video akivuta sigara.

Kulingana na Ringtone, alimuelezea Bahati kuwa mraibu wa dawa za kulevya.

Haya yanajiri saa chache baada ya Bahati kupakia video kwenye ukutasa wake wa instagram akivuta sigara.

Ringtone aliweka wazi kwamba kuwa yeye ndiye anaeza na kuelekeza tasnia ya burudani, na kuwa wasanii wa injili wanaendelea kutoa kibao baada ya kingine.

"Kutoka kuwa msanii wa nyimbo za injili hadi ukawa mraibu wa dawa za kulevya, lakini mimi ndio naendeleza tasnia ya burudani ya nyimbo za injili

lakini kila kitu kiko sawa, kwa maana tunato kibao kimoja baada ya kingine saa hizi #Fadia inafanya vyema kwenye youtube, wenye tunampenda Mungu tuendelee," Aliandika Ringtone.

Je ni vyema msanii Bahat kipakia video kama hiyo kwenye mitandao ya kijamii locha yake kuwa na wafuasi wengi mitandaoni?

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved