- Msanii Vivianne awaelimisha mashabiki wake
Msanii Vivianne kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram amewashauri mashabiki wake wote ambao wana tabia ya kulewa ovyo ovyo.
Sio walevi tu bali wale wana mazoea ya kutazama ponographia, na hata kucheza kamari.
Kulingana na msanii huyo haya yote ni mambo ambayo watu wamejiekea maishani mwao.
"Pombe na ujasiri ni uongo marafiki wangu wapendwa โบ๏ธ.
Pia niruhusu kufafanua; hakuna hata mmoja wetu alizaliwa akitumia pombe, ponografia, kamari, michezo ya video, mitandao ya kijamii, habari za usiku nakadhalika.
Hizi ni mambo ya kujiekea na unapogundua kuwa huwezi kufanya kazi bila jua tu umeuma nje na mwishowe ni machoossss ๐คฆ๐พโโ๏ธ
Tuone aibu shetani na tutangaze uhuru kwa maisha yetu. Unapendwa. Unatosha. Katika hali yako ya asili ๐๐พ
#UkoTuSawa ndugu yangu mpendwa na dada ๐," Aliandika Vivian.
Ni ujumbe ambao mashabiki walichukua fursa hiyo na kumpongeza msanii huyo kwa ujumbe wake wa kuelimisha.
Hizi hapa hisia zamashabiki;
ngochijohns: Thank God for using u to reach us out
hakiclaude: One and three isn't real , it's supportive
muiruri_sparks: its still posted on the same social platform, social medis is for fun , educating and informing, alafu kuna wale waliamua kufuatilia maisha ya wenyewe huko
tonygichengo: Wait... Porn isnโt real ๐ฎ?
kelvinwaringa: hapo kwa video games umeuma nje๐ค
geraldiemax: Perfect message ๐๐