logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Picha ya siku:Tazama jinsi Omar Lali alipokuwa amepiga luku mahakamani

Omar, ambaye ndiye mshukiwa mkuu wa mauaji ya Tecra

image
na Radio Jambo

Burudani14 July 2021 - 10:55

Muhtasari


  • Tazama jinsi Omar Lali alipokuwa amepiga luku mahakamani
  • Omar, ambaye ndiye mshukiwa mkuu wa mauaji ya Tecra alifika mbele ya mahakama ili kutoa ushahidi wake juu ya tukio hilo lililotokea Mei 2, 2020

Beach boy ni jina la mtaa la  Omar Lali  aliyopewa na wanamitandao baada ya kufahamika sana baada ya kifo chake Tecra Muigai.

Omar alikuwa katika Mahakama ya Sheria ya Milimani Jumanne kujibu mashtaka juu ya mauaji ya mrithi wa Keroche Tecra Muigai.

Omar, ambaye ndiye mshukiwa mkuu wa mauaji ya Tecra alifika mbele ya mahakama ili kutoa ushahidi wake juu ya tukio hilo lililotokea Mei 2, 2020.

Wakati akionekana mbele ya Hakimu Mkuu Mwandamizi Zainab Abdul, Omar Lali alikuwa amevaa vazi kali.

Nduguye Omar Lali aliyekuwa mpenzi wa mridhi wa Keroche Bi Tecra Muigai na ambaye ni mshukiwa kwenye mauaji yake ameeleza mahakama kuwa wawili hao walipendana sana na hakuwahi ona wakipigana.

Akitoa ushahidi wake mahakamani siku ya Jumatano, Quswai Lali ambaye ni mfanyakazi katika mkahawa wa Peponi alisema kuwa nduguye alimpigia simu mida ya saa kumi na mbili kasorobo asubuhi na kumuarifu afike kwake.


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved