logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Story za Ghost: Mwanamume wa miaka 90 amuoa msichana wa miaka 19

Katika kitengo cha story za Ghost, alisimulia jinsi kizaazaa kilishuhudiwa Tana River

image
na Radio Jambo

Habari16 July 2021 - 05:50

Muhtasari


  • Katika kitengo cha story za Ghost, alisimulia jinsi kizaazaa kilishuhudiwa Tana River
  • Mwanamume wa miaka 90 amuoa msichana wa miaka 19

Je walikuwa sawa waliposema 'Age is just a number' katika maisha ya mapenzi  kwani tumeshuhudia na hata kuyaona maneno hayo yakitiwa nguvu na vitendo vya watu.

Katika kitengo cha story za Ghost, alisimulia jinsi kizaazaa kilishuhudiwa Tana River baada ya mzee wa miaka 90, kumuoa msichana wa miaka 19.

Usimulizi

"Mapenzi ndio yana Run dunia ata msanii Alikiba aliimba, kizaazaa kilishuhudiwa eneo la Tana River baada ya mzee wamiaka tisiani kumuoa msichana wa miaka 19

Wawili hao walitoroka wakaenda kuishi Mombasa baadaye walirudi na kufunga ndoa,"

Swali kuu ni je unapaswa kuachana na menzi wako kwa miaka mingapi ili muoane?

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved