- Wanamitandao wamshambulia Amver Ray baada ya ujumbe wake
- Wanamitandao walipokea ujumbe vyema wakati wengi wao waliangua kicheko baada ya kusoma maelezo yake
Tangu mfanyabiashara Jamal Marlaw alipoondoka nyumbani kwa Amber Ray na kurudi kwa mkewe na watoto, Wanamtandao wamekuwa wakingojea wakati ambapo Amber hatimaye atashiriki maoni yake juu ya madai ya kuachwa.
Kama vile watu walidhani kwamba atakuwa amevunjika moyo na kuchukua muda kabla ya kushiriki chapisho lake lolote kwenye mitandaoya kijamii, amewashangaza mashabiki wake wengi kwani alikuja mwenye nguvu na mkali kama kawaida
Amber alipakia picha kwenye ukurasa wake wa instagram na kusema kwama hamna haja ya kumlilia mwnamume ambaye atakuwa ndugu yao wakati yesu atarudi.
Wanamitandao walipokea ujumbe vyema wakati wengi wao waliangua kicheko baada ya kusoma maelezo yake.
Wengine walimwambia kwamba walidhani kwamba alikuwa ametangaza kwamba wanaume wanapaswa kutumiwa na wanawake wengi ilhali yeye aliamua kukata tamaa.
"Lakini kwa nini ujiue kwa ajili ya jamaa ambaye atakuwa ndugu yako wakati yesu atakapokuja," Amber Aliandika.
Hizi hapa baadhi ya hisia za mashabiki
hawah08: Ulisahau ulikuwa unapigania jamal ukisema mambo nikushare. A man will embarrass you hio amini ata kama wewe ni 1st wife usijiaibishe juu ya kende
_fantasylagirl_: Kwani ni ukweli umeachwa๐๐๐๐ kumbe kwa ndoa sio mbali umerudi haraka๐๐๐
littlep2519: Umeachwa ๐ฅบ๐ฅบ,,, sombarry comb me๐ญ
mulei.joyce: so is true maembe ni ya msimu๐๐๐๐
chege5208: Sasa motivational quotes zitakua zinatoka huku juuu sa ameachwa๐คฃ
clinton_dancaina: Usharudi soko, kimeumana hii ni kenya๐
iamtriciepiper_the_original: Ebu tuletewe ile video ilikuwa tunaambiwa"huyo wako ndio tushare ๐๐๐"