logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Picha ya siku! Tazama picha ya zamani ya Raila Odinga iliyozua mdahalo mitandaoni

KUpitia kwenye ukurasa wake wa twitter alipakia  picha yake akiwa kijana

image
na Radio Jambo

Yanayojiri05 August 2021 - 11:19

Muhtasari


  • Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga ni miongoni mwa wanasiasa ambao wamekuwa kwenye sekta ya siasa kwa muda mrefu
  • KUpitia kwenye ukurasa wake wa twitter alipakia  picha yake akiwa kijana na wanamitandao walizua mdahalo mkali mitandaoni kutokana na picha hiyo

Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga ni miongoni mwa wanasiasa ambao wamekuwa kwenye sekta ya siasa kwa muda mrefu.

KUpitia kwenye ukurasa wake wa twitter alipakia  picha yake akiwa kijana na wanamitandao walizua mdahalo mkali mitandaoni kutokana na picha hiyo.

Wanamitandao walitoa hisia tofauti na hizi hapa baadhi ya hisia zao;

winnie njenga: When Raila was innocent by then he has no plans of conning people and stealing mollasses plant!!

Tom Omollo: Baba, no doubt you are the real hustler! Our Dad left us with these photos. Quite memorable! The people who shaped the Kenya today.

KÎJÅÑÃ_¥Ã_KÎÅMBÛ II™: Hapa ulikuwa umechapwa na maisha Hadi nywele inakataa kumeaFace with tears of joySkullSkull#Tbt

ShynPTM: Aki ati mungu alikua anajua hii sura itakuja kutusumbua siku moja na BBI,,ngai ni sawa tu.

Jackson Wangai: The Blood of Jesus Christ reigns in Kenya

Wuod Nyasebo: The humble boy who became kingmaker

Hii hapa picha hiyo;

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved