Kinara wa chama cha ODM Raila Odinga ni miongoni mwa wanasiasa ambao wamekuwa kwenye sekta ya siasa kwa muda mrefu.
KUpitia kwenye ukurasa wake wa twitter alipakia picha yake akiwa kijana na wanamitandao walizua mdahalo mkali mitandaoni kutokana na picha hiyo.
Wanamitandao walitoa hisia tofauti na hizi hapa baadhi ya hisia zao;
winnie njenga: When Raila was innocent by then he has no plans of conning people and stealing mollasses plant!!
Tom Omollo: Baba, no doubt you are the real hustler! Our Dad left us with these photos. Quite memorable! The people who shaped the Kenya today.
KÎJÅÑÃ_¥Ã_KÎÅMBÛ II™: Hapa ulikuwa umechapwa na maisha Hadi nywele inakataa kumeaFace with tears of joySkullSkull#Tbt
ShynPTM: Aki ati mungu alikua anajua hii sura itakuja kutusumbua siku moja na BBI,,ngai ni sawa tu.
Jackson Wangai: The Blood of Jesus Christ reigns in Kenya
Wuod Nyasebo: The humble boy who became kingmaker
Hii hapa picha hiyo;