logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Nithamini nikiwa hai,'Zari Hassan akashifu unafiki wa watu baada ya kifo cha mpendwa wao

Swali ni, Je! Kwanini hauthamini mtu wakati anaweza kuelezea ukweli wako?

image
na Radio Jambo

Habari13 August 2021 - 10:12

Muhtasari


  • Zari Hassan akashifu unafiki wa watu baada ya kifo cha mpendwa wao

Baada ya kifo cha mpendwa au mtu mashuhuri, tumewaona wengi wakiwashukuru na kuwapa sifa baada ya kifo chao.

Hamna mtu ambaye amekuwa akisifiwa kwa mabaya bali wamekuwa wakimlimbikizia sifa na mambo mema.

Swali ni, Je! Kwanini hauthamini mtu wakati anaweza kuelezea ukweli wako?

Zari ameweka wazi kupitia akaunti yake ya Instagram kwamba watu waachane na unafiki wa kuwasifu wasio na uhai.

Alisisitiza kuwa watu wanahitaji kupenda na kuthamini wakati ambapo anaweza kuhisi haya yote.

Huu hapa ujumbe wake

"Inasikitisha lakini hii ndio jinsi watu wanavyokukumbuka wakati umeenda. Ujumbe wote mzuri wa hii na ile. Smh ninyi wanafiki 🤣. Nithamini wakati nipo hapa, nitumie maua wakati bado ninaweza kunukia. Wapende watu wakati bado unaweza," Zari Aliandiika.

Hizi hapa baadhi ya hisia za mashabiki;

sumiaffolter: I love and appreciate you. Also sending roses right now ❤️

dida3558: Wooh mungu akulinde n husda zao mbaya zigeuke kuwa baraka kwako!❤️❤️❤️

daima451: That's true my Boss❤️❤️❤️

evabril_001: You're saying the pure truth mama tiffah

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved