logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Hongera!Dada yake Diana Marua hatimaye ajifungua

Ni mara yangu ya kwanza kuwa kwenye chumba cha kujifungua,

image
na Radio Jambo

Habari18 August 2021 - 09:35

Muhtasari


  • Diana Marua kwa muda sasa amekuwa akipakia safari ya ujauzito wa dada yake kwenye mitandao ya kijamii na kumtakia kila laheri
Diana Marua na dadake Michelle

Diana Marua kwa muda sasa amekuwa akipakia safari ya ujauzito wa dada yake kwenye mitandao ya kijamii na kumtakia kila laheri.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram Marua amefichua kwamba tarehe 18/8/2021 ni siku ya kukumbuka maishani mwake baada ya dada yake kujifungua.

"Baraka zetu ndio hizi hapa,asante Yesu Mummy @d_eimos yuko sawa na mtoto ana afya, na mrembo kwa dunia hii

Ni mara yangu ya kwanza kuwa kwenye chumba cha kujifungua, na kuona mchakato wote wa kujifungua.asante daktari Nyamu kwa kuniruhusu nione mchakato huo wote," Aliandika Diana huku akiwa amepakia pcha yake na mtoto wa dada yake.

Hizi hapa baadhi ya jumbe za mashabiki, huku wakimpongeza;

254lydiahmtolah: 😍😍😍😍aaaaaawh mnanipea pressure nitafute wangu

john_ogo: Congratulations to her the lady. Yaani watoto wa siku hizi wanazaliwa already kaa makucha zishapakwa hata😂

infinity_clix: All tb best!! Safe delivery to her

fidelmar_kariuki: Amen Amen Dee and you'll always be blessed❤️❤️❤️🔥

winfaithofficial: Congrats Mitchy😍


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved