logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Wewe ni mume bora kwangu,'Mama Dangote amwandikia mumewe ujumbe wa mahaba

Pamoja na uzoefu huu, aliapa kwamba hataruhusu chochote kizuie mafanikio ya watoto wake.

image
na Radio Jambo

Habari19 August 2021 - 09:29

Muhtasari


  • Mama Dangote amwandikia mumewe ujumbe wa mahaba
sandra 1

Mama wa msanii maarufu wa bongo Diamond Platinumz, Sandra maarufu kwa jina la Mama Dangote na wafuasi wa mtoto wake, amekuwa akivuma muda kwa muda kwenye wanablogu Tanzania kwa ajili ya maisha yake ya mapenzi.

Licha ya hayo, kuwa mama mmoja na aliyefanikiwa maisha yake ya mapenzi yamemfanya avume sana, na kuzungukwa na drama.

Naam, kulingana na hadithi yake ya mapenzi, aliachwa kulea watoto wake peke yake katika umri mdogo sana.

Pamoja na uzoefu huu, aliapa kwamba hataruhusu chochote kizuie mafanikio ya watoto wake.

Baada ya kukaa mseja kwa ajili ya watoto wake, Sandra aliamua kupata mwanamume wa kumuita mume. Nia yake ilimpeleka mikononi mwa Uncle Shamte

Kupitia kwenye ukurasa wke wa instagram Mama Dangote alimwandikia mumewe Shamte ujumbe wa mahaba, na kumsifia.

"SI RAFIKI TU.!! WEWE NI MUME BORA KWANGU MAISALA ..NAKUTAKIA MAISHA MAREFU YENYE BARAKA TELE @uncle_shamte ❤," Aliandika Mama Dangote.

Hizi hapa hisia za mashabiki;

testar_baddest: Vipi kuhusu watoto au ndio mmeghahili

lungimaulanga: Sanaaaa mpende akupedae🔥🔥🔥

alhajj_seif: Hbd brother Uncle Shamte Allah akujaalie maisha marefu zaidi Inshaallah!

mkamatimbisi: Huyu Auncle Mungu akutunzie tu maana kwa muonekano tu Ana busara nyingi sana hata walikuwa wanapiga kelele wote kimya! Munhu aendelee kuwatunza @mama_dangote

dineygabbydrisa:❤️❤️nikiwa mkubwa nataka kupendwa kama wewe😂


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved