logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Lupita Nyong'o amwandikia msanii Beyonce ujumbe anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa

Kulingana na yeye Beyonce sio aina ya mtu ambaye ataomba msamaha kwa kuwa yeye ni nani

image
na Radio Jambo

Burudani04 September 2021 - 22:02

Muhtasari


  • Lupita Nyong'o amlimbikizia sifa Beyonce siku yake maalum
lupita-nyongo1

Lupita Nyongo alisherehekea siku ya kuzaliwa ya Beyonce kwa furaha na kumnakilia ujumbe wa sifa.

Katika taarifa yake, Lupita alisema kuwa tabia ya Beyonce ya kuwa wa kipekee inaendelea kuhamasisha watu wengi ulimwenguni.

Kulingana na yeye Beyonce sio aina ya mtu ambaye ataomba msamaha kwa kuwa yeye ni nani na hiyo ndiyo sehemu yake nzuri inayomtia moyo.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa twotter LUpita alikuwa na haya ya kumlimbikizia Beyonce;

"Kuadhimisha miaka 40 ya @beyonce ni jambo la furaha na njia yake isiyo ya kawaida ambayo inahamasisha harakati ya mwili mkali na wa kike !!!! Heri jema siku yako ya kuazaliwa   malkia wetu aliyechaguliwa," Aliandika Lupita.

Kupitia akaunti yake ya mitandao ya kijamii, Beyonce amekuwa katika mstari wa mbele kujaribu kutafuta njia za kusaidia wanyonge na watu wasiojiweza katika jamii

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved