logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Kwa nini Wakenya mitandaoni wana chuki?-Lilian Ng'ang'a Auliza

Ni uthibitisho ambao uliibua hisia mseto  itandaoni, huku msanii JUliani akipokea vitisho kama alivyo dai.

image
na Radio Jambo

Habari06 September 2021 - 15:43

Muhtasari


  • Lilian Nga'ang'a amekuwa akigonga vichwa vya habari baada ya kutangaza kuwa ameachana na gavana wa kaunti ya Machakos Alfred Mutua

Lilian Nga'ang'a amekuwa akigonga vichwa vya habari baada ya kutangaza kuwa ameachana na gavana wa kaunti ya Machakos Alfred Mutua.

Siku chache baada ya,Lilian na MUtua kutangaza kutengana kwao picha za msanii JUliani na Lilian zilienea sana mitandaoni huku mashabiki wakitoa hisia tofauti.

Siku chache zilizopita, Lilian na Juliani walithibitisha kwamba wawili hao ni wapenzi na ni uamuzi wao.

Ni uthibitisho ambao uliibua hisia mseto  itandaoni, huku msanii JUliani akipokea vitisho kama alivyo dai.

Kupitia kwenye mitandao ya kijamii ya Instagram, Lilian alipakia ujumbe na kushindwa ni vipi wakeya mitandaoni wana chuki.

"Kwanini wakenya kwenye mitandao ya kijamii wana chuki na wanamatusi kwa watu ambao hawawajui, na kuwatakia mabaya kila wakati," Aliuliza Lilian.

Ni ujumbe ambao wengi wa wanamitandao walisema kwamba ulikuwa unawaendea wanamitandao na wenye chuki ambao wana dai kwamba wawili hao wataachana tu.

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved