logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Karibu nyumbani,'Msanii Nyota Ndogo hatimaye akutana na mumewe

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram Nyota alipakia video akiwa na mumewe

image
na Radio Jambo

Yanayojiri29 September 2021 - 09:34

Muhtasari


  • Msanii kutoka kwenye mkoa wa pwani Nyota Ndogo,ana furaha baada ya kukutana na mumewe.
nyota ndogo

Msanii kutoka kwenye mkoa wa pwani Nyota Ndogo,ana furaha baada ya kukutana na mumewe.

Hii ni baada ya miezi kadhaa, kuwa hawayuko pamoja na hawaongeleshani kwa utani ambao Nyota alifanya siku ya 'Fools day' mwaka huu.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram Nyota alipakia video akiwa na mumewe, wakiwa kwenye gari moshi, kisha kuandika ujumbe mfupi.

"Sabuni ya moyo wangu. Karibu nyumbani," Aliandika Nyota.

Mashabiki wake waliwatakia maisha marefu pamoja, na hizi hapa baadhi ya jumbe zao;

solida_nasra: Woyoooooooooo hakika kila mwenye kusubil yu pamoja na Mwenyezimungu🤗😍😍🤝

fresiagabriel: Mungu awalinde na kamwe shetani asiingie tena kati yenu

enael_john: Wow!!!!!hatimae furaha yako imerudi

faustineelizabeth: Karuuuuudi ha ha ha usije ukasahau tena mwezi wa nne umtanie

brenda_unyakeki: Amkeniiiiiii amerudiiiii😂😂😂😂😂

msuyatausi1: subra huvuta heri waoooo shemeji karibu nyumbani

romessa_achieng_keith: Am happy to see you two together👏😍

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved