logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Vijana mkifika miaka 25 tafuteni bibi-Msanii Loise Kim awashauri wanaume

Licha ya changamoto ambazo amekuwa akipitia amekuwa na ujasiri wa kipekee.

image
na Radio Jambo

Habari01 October 2021 - 11:02

Muhtasari


  • Kama umekuwa kwenye mitandao ya kijamii, unaweza kuwa umekutana na msanii Loise Kim, akiwashauri mashabiki wake
  • Licha ya changamoto ambazo amekuwa akipitia amekuwa na ujasiri wa kipekee

Karne ya sasa kupata vijana wakiwa wameamua kuoa ni nadra sana kwani wengi wao wanaogopa  majukumu ya kuwa wanandoa.

Kama umekuwa kwenye mitandao ya kijamii, unaweza kuwa umekutana na msanii Loise Kim, akiwashauri mashabiki wake.

Licha ya changamoto ambazo amekuwa akipitia amekuwa na ujasiri wa kipekee.

Saa chache zilizopita msanii huyo amepakia ujumbe akiwashauri vijana waweze kuoa, na kuacha kuishi na wazazi wao.

Ni ujumbe ambao ulipongezwa na baadhi ya mashabiki wake, na kukubaliana na msanii Loise.

"Nyinyi vijana, mukifikisha miaka 25, hampaswi kuwa mnaishi kwa nyumba ya mama yenu, mukingojea chakula kiive

WajibikeniTafuta bibi, anza maisha,wazazi wote wana furaha kuwaona watoto wao wankua kutoka kiwango kimoja hadi kingine," Aliandika Loise.

Hizi hapa baadhi ya jumbe za mashabiki;

wanjamadavid3: that is exactly what my dad is telling me...but where are these wife materials?๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

jennifawambui: Tell Them Ma'am ๐Ÿ˜

wambui_wa_nyawira: 25 ni mingi sana nasio boychild peke pia ngaochaod

jaquesyombu: Na mbona ulimwanika yule alitaka kukoa... Or what's your intention??

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoยฉ Radio Jambo 2024. All rights reserved