logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Wewe ni rafiki mzuri,'Wanamitandao wamwambia Daddy Owen baada ya kukutana na DJ Mo kumpa pole zake

Asilimia kubwa ya wanamitandao walituma jumbe zao za pole kwa familia ya wawili hao,

image
na Radio Jambo

Burudani06 October 2021 - 13:40

Muhtasari


  • Wanamitandao wamwambia Daddy Owen baada ya kukutana na DJ Mo kumpa pole zake
daddy owen

Mcheza santuri DJ Mo na mkewe Size 8 wiki jana walitangaza kumpoteza mtoto wao wa tatu, hii ni baada ya Size 8 kufanyiwa operesheni ili kuokoa maisha yake.

Asilimia kubwa ya wanamitandao walituma jumbe zao za pole kwa familia ya wawili hao, huku wengi wakiwatia moyo.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram Daddy Owen alipakia picha akiwa na mcheza santuri Mo na kuwaambia mashabiki waweke familia ya Mo kwenye maombi kwa yale wanapitia.

Wanamitandao walipendezwa na hatua ya Owen ya kumtembelea Mo, huku baadhi yao wakimsifia kwa hatua yake.

Hizi hapa baadhi ya hisia za mashabiki;

stellah7595: You are truly a great friend

yawira_l: Say hello to them and tell them,the Lord is always Faithful in His deeds.

everline.odhiambo: A good religion is that which visits the fatherless, widows...... James 1:27

samtracy_ke: He is, Always faithful

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved