logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Kila siku unazidi kuwa mrembo,'Mashabiki wamlimbikizia sifa Zari Hassan

Zari ni  miongoni mwa wanasosholaiti ambao wanakipaji cha kusaidia, na wenye bidii maishani mwao.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri16 October 2021 - 10:40

Muhtasari


  • Zari ni  miongoni mwa wanasosholaiti ambao wanakipaji cha kusaidia, na wenye bidii maishani mwao

Ukisikia jina la Zari, wengi wanamfahamu kama baby mama wa staa wa bongo Diamond Platnumz.

Zari ni  miongoni mwa wanasosholaiti ambao wanakipaji cha kusaidia, na wenye bidii maishani mwao.

Kama tunavyojua, Zari amekuwa akipokea kejeli nyingi mitandaoni, huu baadai ya wanamitandao wakidai kwamba hakutia bidii, ili kupata mali na utajiri alionao.

Wengi wamekuwa akieneza madai hayo kwani mali ya aliyekuwa kuwa mumewe, marehemu Ivan iliachwa mikononi mwake.

KUpitia kwenye uurasa wake wa instagram Zari amepakia picha, iliyoibua hisia mitandaoni.

Baadhi ya mashabiki wameweza kumpongeza kwa urembo wake, huku baadhi yao wakidai kwamba anendelea kuwa mrembo kila kuchao.

Hizi hapa baadhi ya hisia za mashabiki;

maryjcollection33: Kila siku anazidi kuwa mzuri mweeeeeee😍😍😍😍😍😍😍

_.suleh._: Ukiwa na Ela uzeeki Mama @zarithebosslady

colo_boy_mane: Roho safi mumy🔥 @zarithebosslady

mayralove81: May God keep you shining mama Tee🔥🔥🔥

esthershalom402: Nothing dont mind😍 you look great


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved