'Kila siku unazidi kuwa mrembo,'Mashabiki wamlimbikizia sifa Zari Hassan

Muhtasari
  • Zari ni  miongoni mwa wanasosholaiti ambao wanakipaji cha kusaidia, na wenye bidii maishani mwao
Zari Hassan
Image: INSTAGRAM/ZARI

Ukisikia jina la Zari, wengi wanamfahamu kama baby mama wa staa wa bongo Diamond Platnumz.

Zari ni  miongoni mwa wanasosholaiti ambao wanakipaji cha kusaidia, na wenye bidii maishani mwao.

Kama tunavyojua, Zari amekuwa akipokea kejeli nyingi mitandaoni, huu baadai ya wanamitandao wakidai kwamba hakutia bidii, ili kupata mali na utajiri alionao.

Wengi wamekuwa akieneza madai hayo kwani mali ya aliyekuwa kuwa mumewe, marehemu Ivan iliachwa mikononi mwake.

KUpitia kwenye uurasa wake wa instagram Zari amepakia picha, iliyoibua hisia mitandaoni.

Baadhi ya mashabiki wameweza kumpongeza kwa urembo wake, huku baadhi yao wakidai kwamba anendelea kuwa mrembo kila kuchao.

Hizi hapa baadhi ya hisia za mashabiki;

maryjcollection33: Kila siku anazidi kuwa mzuri mweeeeeee๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜

_.suleh._: Ukiwa na Ela uzeeki Mama @zarithebosslady

colo_boy_mane: Roho safi mumy๐Ÿ”ฅ @zarithebosslady

mayralove81: May God keep you shining mama Tee๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

esthershalom402: Nothing dont mind๐Ÿ˜ you look great