logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Mwanaharakati Boniface Mwangi hatawania kiti chochote katika uchaguzi ujao-Mkewe afichua

Njeri aliweka wazi kwamba mumewe ana roho nzuri, na zaidi ya yote  anapenda kupigania haki za wakenya.

image
na Radio Jambo

Habari29 October 2021 - 09:18

Muhtasari


  • Njeri aliweka wazi kwamba mumewe ana roho nzuri, na zaidi ya yote  anapenda kupigania haki za wakenya

Njeri Mwangi mkewe mwanaharakati wa haki za binadamu Boniface Mwangi, akiwa kwenye mahojiano na Radiojambo alifchua kwamba mumewe hatawania kiti chochote mwaka ujao.

Njeri aliweka wazi kwamba mumewe ana roho nzuri, na zaidi ya yote  anapenda kupigania haki za wakenya.

"Nilipatana na Boniface alipokuwa mpiga picha, alikuwa napenda kuendesha pikipiki, alichukua namba yangu ya simu kutoka kwa jamaa ambaye alikuwa rafiki yangu

Mume wangu ni mu mwenye kupigania haki, ni mara nyingi sana amepigania haki za wakenya, lakini wengi wakikuona unasema ukweli na kupigania haki watakueka mahali ambapo wanataka

Licha ya yote Boniface ana utu na roho nzuri," Njeri Aliongea.

Huku akizungumzia uchaguzi wa mwaka ujao, Njeri alisema kuwa;

"Nina uhakika kwamba Boniface hata wania kiti chochote katika uchaguzi wa mwaka ujao, lakini katika maisha ya usoni anaweza jiunga na siasa."

 

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved