logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Tunapaswa kushukuru kwa kila kitu tulichonacho-Akothee asema baada ya shabiki wake kusimulia masaibu yake

Msanii Akothee ni miongoni mwa watu mashuhuri ambao wamekuwa wakiwasaidia wanyonge.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri30 October 2021 - 11:20

Muhtasari


  • Msanii Akothee ni miongoni mwa watu mashuhuri ambao wamekuwa wakiwasaidia wanyonge

KIla mkenya wa kawaida alipitia magumu ya kila siku baada ya virusi vya corona kutangazwa kama janga nchini.

Asilimia kubwa ya wakenya walipoteza kazi, huku uchumi ukianguka na biashara kurudi na nyuma.

Msanii Akothee ni miongoni mwa watu mashuhuri ambao wamekuwa wakiwasaidia wanyonge.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram msanii huyo, alipakia ujumbe wa shabiki aliyesema kwamba ana msongo wa mawazo.

Kulingana na shabiki huyo, ana mtoto ambaye hajaingia shuleni ata baada ya shule ya kufunguliwa.

Huu hapa ujumbe wake;

"Najua hapa si mahali pema pa kupakia ujumbe wangu lakini nahitaji usaidizi,niko na msongo wa mawazo sijui nifanye aje

Nina mtoto wa miaka 5 ambaye hajakuwa shuleni, tangu kufunguliwa kwa shule,naishi kiamuthambi kaunti ya Kirinyaga

 mtu yeyote ambaye yuko katika eneo hilo anisaidia na kazi, nina ujauzito wa miezi 5,nitashukuru, ninakata tamaa," Aliandika shabiki.

Baada ya Akothee kuona ujumbe wa shabiki huyo, aliwashauri mashabiki wake kila mtu anapaswa kushuru kwa chochote ambacho ako nacho.

"🤔🤔 Jane Mumbi hapa ndipo nyumbani ?🙏🙏🙏Tunapaswa kushukuru kwa kila kitu tulicho nacho

 

 

 

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved