Nataka mimba chap chap,'Nadia Mukami amwambia mpenzi wake Arrow Bwoy

Image: INSTAGRAM//NADIA MUKAMI

Huku msanii Nadia Mukami akisherehekea siku yake ya kuzaliwa, amemsihi mpenzi wake ampachike mimba.

Usemi wake uliibua hisia tofauti kati ya mashabiki, hii ni baada ya Arrow Bowy kumwandikia Nadia ujumbe na kmtakia heri njema siku yake ya kuzaliwa.

"Leo ni siku ya kuzaliwa ya malikia wangu, nakupenda sana maisa marefu To To," Aliandika Arrow Bowy.

Huku Nadia akijibu ujumbe wake alikuwa na haya ya kusema;

Najua unamtaka   mpezi ambaye ni Koffi Annan  lakini sisi World War 3 ndio tuko!!! ๐Ÿ˜To annoying you till Infinity!!! Mimi ndio niko babe!๐Ÿ˜Œ Mimba sasa chap chap ๐Ÿ‘…๐Ÿ’ฆ."

Hizi hapa baadhi ya hisia za mashabiki;

cecile_agness: @arrowbwoy niseme nisisemeee๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

chamomile313: @arrowbwoy ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ 6months achana nayo sasa..

zion_njeri: Happy birthday to her๐Ÿ˜๐Ÿ˜

mwallow_arts_ke: Blessings..More life to Mukami girl๐Ÿ™Œ