logo

NOW ON AIR

Listen in Live

Tulikupenda sana,'Milly Wajesus amuomboleza nyanya yake

Licha ya kuwa  mtu mashuhuri pia ni mjasirimali,na amebarikiwa na mtoto mmoja.

image
na Radio Jambo

Yanayojiri10 November 2021 - 09:24

Muhtasari


  • Milly Wajesus ni miongoni mwa wauanda maudhui wanaojulikana sana mitandaoni na mashabiki wao
  • Licha ya kuwa  mtu mashuhuri pia ni mjasirimali,na amebarikiwa na mtoto mmoja

Milly Wajesus ni miongoni mwa wauanda maudhui wanaojulikana sana mitandaoni na mashabiki wao.

Licha ya kuwa  mtu mashuhuri pia ni mjasirimali,na amebarikiwa na mtoto mmoja.

Kupitia wenye ukurasa wake wa instagram Milly alipakia picha yake na nyanya yake huku akidai kwamba walikuwa wamempenda na inauma kusema kwakheri.

Huu hapa ujumbe wake;

"Leo tunasherehekea maisha mazuri. Tulikupenda sana shosho , inauma kukuambia kwakheri😭. Umeacha pengo kubwa katika familia yetu na tunamwamini Mungu atatufariji na kutujaza amani yake.

Tutakuthamini milele ulivyokuwa kwetu. Endelea kucheza na malaika na guka hadi tukutane tena 🥰. lala salama bibi," Aliandika Milly.

Wanamitandao wametuma jumbe za kuwatia moyo, na hizi hapa baadhi ya jumbe zao;

terencecreative: Poleni saana🙏🙏🙏

mojishortbabaa: Poleni sana🙏🏾

millychebby: It is well

dianahdaisy: Rest In Peace shoshh

kauchi_imagine: Celebrate for the ones we got here now😍

wairimukamande: My sincere condolences Milly😢,,,it s well. Shine in perpetual light Cucu

 


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logo© Radio Jambo 2024. All rights reserved