logo

NOW ON AIR

Listen in Live

'Mwamba wangu,'Ujumbe wa Mejja kwa mwanawe anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa

Mejja ni msanii ambaye ametoa vibao akiwashirikisha wasanii mbalimbali nchini.

image
na Radio Jambo

Habari17 November 2021 - 14:44

Muhtasari


  • Ujumbe wa Mejja kwa mwanawe anaposherehekea siku yake ya kuzaliwa

Hata baada ya kuachhana na mke wake Mejja anazidi kutekeleza na kuwajibika kama baba wa mtoto wake.

Mejja amekuwa akitoa kibao kimoja baada ya kingine, huku mashabiki wakipenda vibao vyake.

Mapema mwaka huu akiwa kwenye mahojiano na radiojambo, aliweka wazi kwamba huwa halipishi wasanii ili waweze kufanya collabo naye,

Mejja ni msanii ambaye ametoa vibao akiwashirikisha wasanii mbalimbali nchini.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa instagram alipakia picha akiwa na mwanwe, huku akimtakia heri njema ya siku yake ya kuzaliwa.

"Heri njema siku yako ya kuzaliwa kwa Kwa Mwamba Wangu na Nguvu zangu," Aliandika Mejja.

Hizi hapa baadhi ya jumbe za mashabiki wakimtumia mwanawe Mejja jumbe huku wakimtakia heri njema siku yake ya kuzaliwa;

sheezzywanjiru: Happy birthday to her ❀️ more life πŸŽ‚ 😍😍😍😍

joyce_saimy: Happy birthday babygurl😍😍😍

whitney___edward: πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯happy birthday

lillian.kieti: Happy birthday πŸŽ‰πŸŽ‰πŸ˜


RADIO JAMBO FREQUENCIES

Kisumu 100.1 | Mombasa 92.3 | Nakuru 96.9 | Eldoret 99.5 | Nyeri 99.3 | Nyahururu 97.3 | Webuye 95.3 | Meru 92.7 | Kitui 104.9 | Kibwezi 104.7 | Voi 105.7 | Malindi 98.1 | Lamu 104.7 | Narok 97.3 | Kapenguria 99.7 | Kisii 89.3 | Garissa 104.3 | Maralal 97.3 | Lodwar 92.7


logoΒ© Radio Jambo 2024. All rights reserved